Friday, April 3, 2015

RADIO DW-BONN YAMUHOJI KAMANDA RAS MAKUNJA,AZUNGUMUZIA MAFANIKIO NA CHANGA MOTO ZA MUZIKI WA KIAFRIKA BARANI ULAYA

Bonn,
Asubuhi na mapema tu Radio Deutch Welle Idhaa ya Kiswahili inayorusha matangazo yake mjini
Bonn,Ujerumani, ilimwamkia mwanamuziki Ebrahim Makunja aka Kamanda Ras Makunja kiongozi wa bendi maarufu ya dansi barani ulaya Ngoma Africa Band aka FFU-Ughaibuni.


 katika mahojiano
na mtangazaji mahiri Bi. Swaumu Mwasimba wa radio DW na kipindi cha muziki na utamaduni, Kamanda Ras Makunja amezungumzia mafanikio na changamoto za muziki wa kiafrika barani ulaya.pia amezungumizia jinsi muziki wa kiswahili unavyokubalika barani ulaya.usikose kusikiliza mahojiano hayo katika tuvoti za radio DW-Kiswahili

No comments:

Post a Comment