Friday, April 3, 2015

UMOJA WA MATAIFA WAFADHILI USAMBAZAJI WA KATIBA INAYOPENDEKEZWA KWA NJIA YA SAUTI

Mkakati wa  kusambasa katiba inayopendekezwa kwa njia ya sauti unajumuisha utoaji elimu kuhusu mfumo mpya wa kujiandikisha kwa njia ya kielectroniki (BVR) Pamoja na kuhamasisha wananchi wajitokeze kwa wingi

No comments:

Post a Comment