Msanii mkongwe wa Hip Hop Proffesor Jay amesema kuwa kushindwa kwa Diamond kuchukuwa tuzo za MTV kusimvunje moyo kwakuwa alikuwa anashindana na wasanii wakubwa sana Africa.
Akizungumza na mtandao huu leo
,Proffesor Jay amesema kuwa nafasi aliyopata Diamond na kushindana na
wasanii hayo ni ushindi mkubwa wake.
“Diamond
lazima ajue katika mashindano kuna kushinda na kushindwa, Kitu ambacho
ninaweza kumwambia Diamond asikate tamaa, ameshindanishwa na wasanii
wakubwa sana ambao pia ni advantage kwake ,msanii kama Davido pamoja na
kufanya muziki mzuri tutambue kuwa nyuma yake kuna Wanageria zaidi ya
milioni 150, ambao kiukweli wenzetu wameamka sana kuchangia kuwa support
wasanii wao, sisi Watanzania tumekuwa tunazungumza kwa maneno mengi
kulipo vitendo ,so mtu kama Davido ameshinda kwa kupigiwa kura na watu
wake wengi na muziki wake umefika afrika nzima. Kwaiyo kushindwa kwake
Diamond asichukulie kukata tamaa ,yeye achukulie kama changamoto na
kuwashawishi Watanzania na mashabiki wake kuendelea ku support muziki
wake ili afike mbali zaidi, naamini kuna kila dalili kwa Diamond kuendelea kufanya vizuri zaidi hapo mbeleni, pia nataka niwaambie
No comments:
Post a Comment